Rukia maudhui
Ufunuo 21:23-24

Ufunuo 21:23-24

23
Ule mji hauhitaji jua wala mwezi kuuangazia, kwa sababu utukufu wa Mungu ndio nuru yake na Mwana-Kondoo ndiye taa yake.
24
Mataifa yatatembea yakiangaziwa na nuru yake na wafalme wa duniani wataleta fahari yao ndani yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options