Skip to content
Zaburi 90:7-9

Zaburi 90:7-9

7
Tumeangamizwa kwa hasira yako na tumetishwa kwa ghadhabu yako.
8
Umeyaweka maovu yetu mbele yako, dhambi zetu za siri katika nuru ya uwepo wako.
9
Tumeishi siku zetu zote chini ya ghadhabu yako, tunamaliza miaka yetu kwa kuomboleza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options