Zaburi 90:3-6
3
Huwarudisha watu mavumbini, ukisema, “Rudini mavumbini, enyi wanadamu.”
4
Kwa maana kwako miaka elfu ni kama siku moja iliyokwisha pita, au kama kesha la usiku.
5
Unawatowesha wanadamu katika usingizi wa kifo, nao ni kama majani machanga ya asubuhi:
6
ingawa asubuhi yanachipua, ifikapo jioni huwa yamenyauka na kukauka.
Settings