Skip to content
Zaburi 9:7-9

Zaburi 9:7-9

7
Bwana anatawala milele, ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.
8
Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki, atatawala mataifa kwa haki.
9
Bwana ni kimbilio la watu wanaoonewa, ni ngome imara wakati wa shida.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options