Skip to content
Zaburi 9:7-10

Zaburi 9:7-10

7
Bwana anatawala milele, ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.
8
Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki, atatawala mataifa kwa haki.
9
Bwana ni kimbilio la watu wanaoonewa, ni ngome imara wakati wa shida.
10
Wote wanaolijua jina lako watakutumaini wewe, kwa maana wewe Bwana, hujawaacha kamwe wakutafutao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options