Skip to content
Zaburi 9:3-6

Zaburi 9:3-6

3
Adui zangu wamerudi nyuma, wamejikwaa na kuangamia mbele zako.
4
Kwa maana umetetea haki yangu na msimamo wangu; umeketi kwenye kiti chako cha enzi, ukihukumu kwa haki.
5
Umekemea mataifa na kuwaangamiza waovu; umeyafuta majina yao milele na milele.
6
Uharibifu usiokoma umempata adui, umeingʼoa miji yao; hata kumbukumbu lao limetoweka.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options