Skip to content
Zaburi 86:1-3

Zaburi 86:1-3

1
Maombi ya Daudi. Ee Bwana, sikia na unijibu, kwa maana mimi ni maskini na mhitaji.
2
Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako, wewe ni Mungu wangu, mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.
3
Ee Bwana, nihurumie mimi, kwa maana ninakuita mchana kutwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options