Skip to content
Zaburi 86:1-2

Zaburi 86:1-2

1
Maombi ya Daudi. Ee Bwana, sikia na unijibu, kwa maana mimi ni maskini na mhitaji.
2
Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako, wewe ni Mungu wangu, mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options