Zaburi 83:9-11
9
Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani, na kama vile ulivyowatendea Sisera na Yabini hapo kijito cha Kishoni,
10
ambao waliangamia huko Endori na wakawa kama takataka juu ya nchi.
11
Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu, watawala wao kama Zeba na Salmuna,