Skip to content
Zaburi 83:1-3

Zaburi 83:1-3

1
Wimbo. Zaburi ya Asafu. Ee Mungu, usinyamaze kimya, usinyamaze, Ee Mungu, usitulie.
2
Tazama watesi wako wanafanya fujo, jinsi adui zako wanavyoinua vichwa vyao.
3
Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako, wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options