Zaburi 82:8
Inaonyesha mstari 8 pamoja na muktadha unaouzunguka.
5
“Hawajui lolote, hawaelewi lolote. Wanatembea gizani; misingi yote ya dunia imetikisika.
6
“Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”; ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.’
7
Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida; mtaanguka kama mtawala mwingine yeyote.”
8
Ee Mungu, inuka uihukumu nchi, kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako.
Settings