Zaburi 82:2-5
2
“Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonyesha upendeleo kwa waovu?
3
Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na walioonewa.
4
Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.
5
“Hawajui lolote, hawaelewi lolote. Wanatembea gizani; misingi yote ya dunia imetikisika.
Settings