Skip to content
Zaburi 82:1-4

Zaburi 82:1-4

1
Zaburi ya Asafu. Mungu anaongoza kusanyiko kuu, anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:
2
“Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonyesha upendeleo kwa waovu?
3
Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na walioonewa.
4
Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options