Zaburi 8:4-6
4
mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?
5
Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni, ukamvika taji ya utukufu na heshima.
6
Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako; umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.