Skip to content
Zaburi 78:47-48

Zaburi 78:47-48

47
Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.
48
Aliwaachia mifugo yao mvua ya mawe, akayapiga makundi ya wanyama wao kwa radi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options