Skip to content
Zaburi 78:12-14

Zaburi 78:12-14

12
Alitenda miujiza machoni mwa baba zao, huko Soani, katika nchi ya Misri.
13
Aliigawanya bahari akawapitisha, alifanya maji yasimame imara kama ukuta.
14
Aliwaongoza kwa wingu mchana na kwa nuru kutoka kwenye moto usiku kucha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options