Skip to content
Zaburi 78:9-11

Zaburi 78:9-11

9
Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde, walikimbia siku ya vita.
10
Hawakulishika agano la Mungu na walikataa kuishi kwa sheria yake.
11
Walisahau aliyokuwa ameyatenda, maajabu aliyokuwa amewaonyesha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options