Skip to content
Zaburi 77:10-12

Zaburi 77:10-12

10
Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu: lakini nitakumbuka miaka ya mkono wa kuume wa Aliye Juu Sana.”
11
Nitayakumbuka matendo ya Bwana; naam, nitaikumbuka miujiza yako ya zamani.
12
Nitazitafakari kazi zako zote na kuyawaza matendo yako makuu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options