Zaburi 77:10-12
10
Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu: lakini nitakumbuka miaka ya mkono wa kuume wa Aliye Juu Sana.”
11
Nitayakumbuka matendo ya Bwana; naam, nitaikumbuka miujiza yako ya zamani.
12
Nitazitafakari kazi zako zote na kuyawaza matendo yako makuu.