Skip to content
Zaburi 77:10-11

Zaburi 77:10-11

10
Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu: lakini nitakumbuka miaka ya mkono wa kuume wa Aliye Juu Sana.”
11
Nitayakumbuka matendo ya Bwana; naam, nitaikumbuka miujiza yako ya zamani.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options