Skip to content
Zaburi 76:8-12

Zaburi 76:8-12

8
Kutoka mbinguni ulitamka hukumu, nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:
9
wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.
10
Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa, na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.
11
Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza; nchi zote za jirani na walete zawadi kwa Yule astahiliye kuogopwa.
12
Huvunja roho za watawala; anaogopwa na wafalme wa dunia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options