Skip to content
Zaburi 76:7-9

Hukumu ya Kutisha ya Bwana

Zaburi 76:7-9
7
Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa. Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?
8
Kutoka mbinguni ulitamka hukumu, nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:
9
wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options