Rukia maudhui
Zaburi 76:7-9

Hukumu ya Kutisha ya Bwana

Zaburi 76:7-9
7
Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa. Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?
8
Kutoka mbinguni ulitamka hukumu, nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:
9
wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options