Skip to content
Zaburi 74:5-8

Zaburi 74:5-8

5
Walifanya kama watu wanaotumia mashoka kukata kichaka cha miti.
6
Walivunjavunja milango yote iliyonakshiwa kwa mashoka na vishoka vyao.
7
Waliteketeza kabisa mahali pako patakatifu, wakayanajisi makao ya Jina lako.
8
Walisema mioyoni mwao, “Tutawaponda kabisa!” Walichoma kila mahali ambapo Mungu aliabudiwa katika nchi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options