Skip to content
Zaburi 73:4-6

Zaburi 73:4-6

4
Wao hawana taabu, miili yao ina afya na nguvu.
5
Hawapati shida zinazowataabisha watu wengine, wala hawapati mapigo kama wanadamu wengine.
6
Kwa hiyo kiburi ni mkufu wao, wamejivika jeuri.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options