Skip to content
Zaburi 73:13-16

Zaburi 73:13-16

13
Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure, ni bure nimenawa mikono yangu nisiwe na hatia.
14
Mchana kutwa nimetaabika, nimeadhibiwa kila asubuhi.
15
Kama ningesema, “Nitasema hivi,” ningelikuwa nimewasaliti watoto wako.
16
Nilipojaribu kuelewa haya yote, yalikuwa magumu kwangu kuelewa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options