13
Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure, ni bure nimenawa mikono yangu nisiwe na hatia.
14
Mchana kutwa nimetaabika, nimeadhibiwa kila asubuhi.
15
Kama ningesema, “Nitasema hivi,” ningelikuwa nimewasaliti watoto wako.
16
Nilipojaribu kuelewa haya yote, yalikuwa magumu kwangu kuelewa.