Skip to content
Zaburi 7:3-4

Zaburi 7:3-4

3
Ee Bwana, Mungu wangu, kama nimetenda haya na kuna hatia mikononi mwangu,
4
au ikiwa nimemtenda uovu aliye na amani nami, au nimemnyangʼanya adui yangu pasipo sababu,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options