Skip to content
Zaburi 7:1-2

Sala ya kuomba wokovu na kumtumaini Mungu

Zaburi 7:1-2
1
Ombolezo la Daudi kwa Bwana kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini. Ee Bwana, Mungu wangu, ninakukimbilia wewe, uniokoe na kunikomboa na wote wanaonifuatia,
2
la sivyo watanirarua kama simba na kunichana vipande vipande, asiwepo wa kuniokoa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options