Skip to content
Zaburi 7:1-2

Zaburi 7:1-2

1
Ombolezo la Daudi kwa Bwana kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini. Ee Bwana, Mungu wangu, ninakukimbilia wewe, uniokoe na kunikomboa na wote wanaonifuatia,
2
la sivyo watanirarua kama simba na kunichana vipande vipande, asiwepo wa kuniokoa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options