Skip to content
Zaburi 6:8-10

Zaburi 6:8-10

8
Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya, kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.
9
Bwana amesikia kilio changu kwa huruma, Bwana amekubali sala yangu.
10
Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika, watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options