Skip to content
Zaburi 7:3-5

Kiapo cha Daudi cha kutokuwa na hatia

Zaburi 7:3-5
3
Ee Bwana, Mungu wangu, kama nimetenda haya na kuna hatia mikononi mwangu,
4
au ikiwa nimemtenda uovu aliye na amani nami, au nimemnyangʼanya adui yangu pasipo sababu,
5
basi adui anifuatie na kunipata, auponde uhai wangu ardhini na kunilaza mavumbini.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options