Skip to content
Zaburi 7:3-5

Zaburi 7:3-5

3
Ee Bwana, Mungu wangu, kama nimetenda haya na kuna hatia mikononi mwangu,
4
au ikiwa nimemtenda uovu aliye na amani nami, au nimemnyangʼanya adui yangu pasipo sababu,
5
basi adui anifuatie na kunipata, auponde uhai wangu ardhini na kunilaza mavumbini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options