Skip to content
Zaburi 69:10-12

Zaburi 69:10-12

10
Ninapolia na kufunga, lazima nivumilie matusi.
11
Ninapovaa nguo ya gunia, watu hunidharau.
12
Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga, nimekuwa wimbo wa walevi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options