Skip to content
Zaburi 69:10-12

Zaburi 69:10-12

10
Ninapolia na kufunga, lazima nivumilie matusi.
11
Ninapovaa nguo ya gunia, watu hunidharau.
12
Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga, nimekuwa wimbo wa walevi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options