Skip to content
Zaburi 66:13-14

Zaburi 66:13-14

13
Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa na kukutimizia nadhiri zangu:
14
nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi na nilizotamka kwa kinywa changu nilipokuwa katika shida.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options