Skip to content
Zaburi 66:1-4

Zaburi 66:1-4

1
Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi. Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!
2
Imbeni utukufu wa jina lake; mpeni sifa zake kwa utukufu!
3
Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako! Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba adui wananyenyekea mbele zako.
4
Dunia yote yakusujudia, wanakuimbia wewe sifa, wanaliimbia sifa jina lako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options