Rukia maudhui
Zaburi 62:5-8

Mngojee Mungu Pekee kwa Subira

Zaburi 62:5-8
5
Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake, tumaini langu latoka kwake.
6
Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu; ndiye ngome yangu, sitatikisika.
7
Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu, ndiye mwamba wangu wenye nguvu na kimbilio langu.
8
Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote, miminieni mioyo yenu kwake, kwa kuwa Mungu ni kimbilio letu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options