Skip to content
Zaburi 61:6-8

Zaburi 61:6-8

6
Mwongezee mfalme siku za maisha yake, miaka yake kwa vizazi vingi.
7
Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele; amuru upendo wako na uaminifu wako vimlinde.
8
Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options