Zaburi 61:8
Inaonyesha mstari 8 pamoja na muktadha unaouzunguka.
5
Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu, umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.
6
Mwongezee mfalme siku za maisha yake, miaka yake kwa vizazi vingi.
7
Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele; amuru upendo wako na uaminifu wako vimlinde.
8
Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.
Settings