Skip to content
Zaburi 61:1-4

Zaburi 61:1-4

1
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, sikia kilio changu, usikilize maombi yangu.
2
Kutoka miisho ya dunia ninakuita, ninaita huku moyo wangu unadhoofika; uniongoze kwenye mwamba ule ulio juu kuliko mimi.
3
Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu, ngome imara dhidi ya adui.
4
Natamani kukaa hemani mwako milele, na kukimbilia chini ya uvuli wa mbawa zako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options