Skip to content
Zaburi 60:6-8

Tangazo la Enzi Kuu ya Mungu

Zaburi 60:6-8
6
Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
7
Gileadi ni yangu na Manase ni yangu; Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
8
Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options