Skip to content
Zaburi 6:8-9

Zaburi 6:8-9

8
Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya, kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.
9
Bwana amesikia kilio changu kwa huruma, Bwana amekubali sala yangu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options