Zaburi 6:2-4
2
Unirehemu Bwana, kwa maana nimedhoofika; Ee Bwana, uniponye, kwa maana mifupa yangu ina maumivu makali.
3
Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?
4
Geuka Ee Bwana, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.