Skip to content
Zaburi 6:4-5

Zaburi 6:4-5

4
Geuka Ee Bwana, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.
5
Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options