Skip to content
Zaburi 6:1-3

Zaburi 6:1-3

1
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
2
Unirehemu Bwana, kwa maana nimedhoofika; Ee Bwana, uniponye, kwa maana mifupa yangu ina maumivu makali.
3
Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options