Skip to content
Zaburi 6:2-3

Zaburi 6:2-3

2
Unirehemu Bwana, kwa maana nimedhoofika; Ee Bwana, uniponye, kwa maana mifupa yangu ina maumivu makali.
3
Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options