Zaburi 57:7-9
7
Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti; nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.
8
Amka, nafsi yangu! Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.
9
Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa; nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.