Rukia maudhui
Zaburi 56:12-13

Nadhiri ya Sifa kwa Wokovu

Zaburi 56:12-13
12
Ee Mungu, nina nadhiri kwako, nitakutolea wewe sadaka zangu za shukrani.
13
Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti na miguu yangu kwenye kujikwaa, ili niweze kuenenda mbele za Mungu katika nuru ya uzima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options