Rukia maudhui
Zaburi 52:8-9

Usalama wa Wenye Haki

Zaburi 52:8-9
8
Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni unaostawi katika nyumba ya Mungu, nautegemea upendo wa Mungu usiokoma milele na milele.
9
Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda, nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni jema. Nitakusifu mbele ya watakatifu wako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options