Rukia maudhui
Zaburi 52:5-7

Uhakika wa Hukumu ya Mungu

Zaburi 52:5-7
5
Hakika Mungu atakushusha chini kwa maangamizi ya milele: atakunyakua na kukuondoa kwa nguvu kutoka hema yako, atakungʼoa kutoka nchi ya walio hai.
6
Wenye haki wataona na kuogopa, watamcheka, wakisema,
7
“Huyu ni yule mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa ngome yake, bali alitumainia wingi wa utajiri wake, na akawa hodari kwa kuwaangamiza wengine!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options