Skip to content
Zaburi 51:7-10

Zaburi 51:7-10

7
Nioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi, unisafishe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
8
Unipe kusikia furaha na shangwe, mifupa uliyoiponda na ifurahi.
9
Ufiche uso wako usizitazame dhambi zangu, na uufute uovu wangu wote.
10
Ee Mungu, uniumbie moyo safi, uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options