Zaburi 51:7-10
7
Nioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi, unisafishe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
8
Unipe kusikia furaha na shangwe, mifupa uliyoiponda na ifurahi.
9
Ufiche uso wako usizitazame dhambi zangu, na uufute uovu wangu wote.
10
Ee Mungu, uniumbie moyo safi, uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.
Settings