Skip to content
Zaburi 50:16-17

Zaburi 50:16-17

16
Lakini kwake mtu mwovu, Mungu asema: “Una haki gani kunena sheria zangu au kuchukua agano langu midomoni mwako?
17
Unachukia mafundisho yangu na kuyatupa maneno yangu nyuma yako.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options