Skip to content
Zaburi 50:22-23

Sharti la Kumcha Mungu Kweli

Zaburi 50:22-23
22
“Yatafakarini haya, ninyi mnaomsahau Mungu, ama sivyo nitawararua vipande vipande, wala hapatakuwepo na yeyote wa kuwaokoa:
23
Atoaye dhabihu za shukrani ananiheshimu mimi, naye aiandaa njia yake ili nimwonyeshe wokovu wa Mungu.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options