Skip to content
Zaburi 50:12-15

Zaburi 50:12-15

12
Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi, kwa maana ulimwengu ni wangu, pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.
13
Je, mimi hula nyama ya mafahali au kunywa damu ya mbuzi?
14
Toa sadaka za shukrani kwa Mungu, timiza nadhiri zako kwake Yeye Aliye Juu Sana,
15
na uniite siku ya taabu; nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options